MANENO YA HEKIMA YA IMAM SHAFI (R.A.)

 

 

1.   Katika mambo yenye kunikesheza na kuzifanya nyeupe nywele zangu (yaani mvi) ni huzuni na misiba ya kilimwengu.

 

2.   Huzuni yangu imenirudia na moyo wangu unahuzuni jicho langu halifumbi wala usingizi siujui.

 

3.   Kwa sababu ya Ahlul-Bayt wa Mtume (s.a.w.w.) ulimwengu mzima ulitetema, Majabali na Milima ilikaribia kuyeyuka.

 

4.   Ni nani atakaye mfikishia Hussein ujumbe wangu na hata nyoyo                   zachukia.

 

5.   Hussein aliuliwa shahidi pasi makosa yoyote na kanzu yake ikapakazwa wekundu.

 

6.   Twamuombea rehma Mtume katika ukoo wa Hashim na huku twawaudhi wanawe, hakika jambo hilo ni lenye kushangaza

 

7.   Ikiwa dhambi zangu ni kuwapenda watoto wa Mtume Muhammad (s.a.w.w.) basi ni dhambi ambazo sitatubia

 
 

Prepared by: Khoja Shia Ithna Asheri Dar es Salaam Juloos Committee 1429AH (2008)
Email us your comments, suggestions, articles, etc through the Website Coordinator: Murtaza H. Lalji