MITUME WA ZAMANI WALIJULISHWA KUHUSU MUHANGA MKUBWA WA IMAM HUSSEIN (A.S.)

 

      Kutoka kwa wanahistoria, imetaarifiwa kwamba Mitume wa zamani - yaani, Adam, Zakariya, Ibrahim na Islamail, Suleiman, Musa, Issa na Muhammad, waijulishwa na Mwenyezi Mungu kuhusu Muhanga wa Hussein ambao atautoa kwa ajili ya kuisimamisha upya dini ya Mwenyezi Mungu katika ardhi. Rejea: (Tafsir-e-Ali ibn Ibrahim- Kashful Ghumma, -Tadhkira-e-ibn Jawazi, Mataalibns-su’u.).

 

 
 

Prepared by: Khoja Shia Ithna Asheri Dar es Salaam Juloos Committee 1429AH (2008)
Email us your comments, suggestions, articles, etc through the Website Coordinator: Murtaza H. Lalji